Tuesday, December 25, 2007

Hawa ndio wala nchi?

Hili ndilo linaitwa sasa kundi la wala nchi. Gazeti la Serikali, Habari Leo Jumapili, tarehe 16. Septemba 2007, limemnukuu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dk. Willibord Slaa, akiwataja 11 bora wanaodaiwa kushiriki katika ulaji na uuzaji nchi kwa namna moja au nyingine, kutokana na nyadhifa zao za kisiasa, kitaaluma au kwa sababu ya uwakala au ukaribu wao na wenye madaraka. Waliotajwa ni:
1. Rais Jakaya Kikwete
2. Rais Mstaafu Benjamin Mkapa
3. Waziri Mkuu Edward Lowassa
4. Waziri wa Nishati na Madini Nazir Karamagi
5. Waziri wa Miundombinu Andrew Chenge
6. Waziri wa Viwanda na Biashara Basil Mramba
7. Gavana wa Benki Kuu (BoT) Daudi Balali
8. Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Gray Mgonja
9. Katibu Mkuu Wizara ya Maji Patrick Rutabanzibwa
10. Mbunge wa Musoma Vijijini Nimrod Mkono
11. Mbunge wa Igunga Rostam Aziz (pichani juu).

1 Comments:

At November 20, 2009 at 11:39 PM , Anonymous Anonymous said...

Who knows where to download XRumer 5.0 Palladium?
Help, please. All recommend this program to effectively advertise on the Internet, this is the best program!

 

Post a Comment

Subscribe to Post Comments [Atom]

<< Home